If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 1 | 1 |
NYUMBANI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Matamshi Bora: Sauti p/b
Matamshi Bora: Sauti t/d |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kutambua silabi zinazotokana na sauti p/b katika maneno. - Kutamka silabi zinazotokana na sauti p/b kwa usahihi. - Kutamka vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti p/b. - Kuunda vitanzandimi kutokana na sauti p/b. - Kuchangamkia kukariri vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti p/b katika kuboresha matamshi yake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua silabi za sauti p/b kutokana na maneno kwenye vitabu, ubaoni au kwa kutumia vifaa vya kidijitali. - Kusikiliza silabi za sauti p/b zikitamkwa na mwalimu, mgeni mwalikwa au kutoka kwa vifaa vya kidijitali. - Kutamka silabi za sauti p/b na vitanzandimi akiwa na wenzake. - Kusikiliza vitanzandimi vilivyoundwa kutokana na maneno yenye sauti p/b vikikaririwa na mwalimu, mgeni mwalikwa au katika vifaa vya kidijitali. - Kuunda vitanzandimi vyepesi vinavyotokana na sauti p/b akiwa na wenzake. - Kuunda vitanzandimi kwenye vifaa vya kidijitali na kushirikiana na wenzake mitamboni kuvirekebisha. |
Matamshi bora yana umuhimu gani katika mawasiliano?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 2
Michoro Picha Kadi za maneno Kapu maneno Chati Vifaa vya kidijitali Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 3 |
Kutambua silabi za sauti p/b katika maneno
Kutamka silabi kwa usahihi
Kutamka vitanzandimi kwa ufasaha
Kuunda vitanzandimi vyepesi
Tathmini ya wanafunzi wenyewe
|
|
| 1 | 2 |
Kusoma
Sarufi |
Kusoma kwa Ufahamu
Nomino |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kutambua msamiati wa mada lengwa uliotumika katika kifungu cha hadithi. - Kutumia msamiati lengwa kwa usahihi katika sentensi. - Kutoa muhtasari wa ujumbe wa kifungu cha hadithi. - Kujibu maswali ya ufahamu kutokana na kifungu alichosoma. - Kujenga mazoea ya usomaji bora katika maisha ya kila siku. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua msamiati wa nyumbani (k.v. meza, sebule, balbu, kizingiti, fremu, neti, tendegu, mtoto wa meza, mvungu, figa, kinu, tumbuu, kochi, kupiga deki) uliotumiwa katika kifungu. - Kushirikiana na wenzake kujadili maana na matumizi ya msamiati lengwa katika sentensi. - Kuimba nyimbo zinazolenga msamiati lengwa. - Kusoma kifungu kinachohusiana na suala lengwa kwenye kitabu au kwenye tarakilishi akiwa na wenzake. - Kujibu maswali kutokana na kifungu alichosoma. - Kutoa muhtasari wa ujumbe wa kifungu alichokisoma. |
Unazingatia nini ili kupata ujumbe katika kifungu cha hadithi?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 10
Kadi za msamiati Picha Michoro Vifaa vya kidijitali Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 15 Kadi za nomino Mti maneno Chati |
Kutambua msamiati wa mada lengwa katika kifungu
Kutoa maana ya msamiati lengwa
Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa
Kujibu maswali ya ufahamu
Kutoa muhtasari wa ujumbe wa kifungu
|
|
| 1 | 3 |
Sarufi
|
Nomino
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kueleza maana ya nomino ili kuitofautisha na aina nyingine za maneno. - Kutambua nomino katika kundi la maneno na sentensi. - Kutumia nomino kwa njia sahihi katika sentensi. - Kuonea fahari matumizi ya nomino katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua nomino katika kundi la maneno alilopewa. - Kupigia mstari nomino katika sentensi mbalimbali. - Kufanya zoezi la kutambua nomino katika kifungu. - Kutumia nomino kutunga sentensi kuhusu nyumbani. - Kutumia kifaa cha kidijitali kupiga chapa sentensi alizotunga. - Wanafunzi kutathimiana kazi zao kuhusu matumizi ya nomino. |
Ni nomino zipi zinazopatikana katika mazingira ya nyumbani?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 16
Vifaa vya kidijitali Kadi za nomino |
Kupigia mstari nomino katika sentensi
Kutunga sentensi kwa kutumia nomino
Kutumia nomino kwenye maandishi
Kupiga chapa sentensi kwa kutumia kidijitali
Kufanya tathmini ya kazi za wenzao
|
|
| 1 | 4 |
Sarufi
|
Vitenzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kueleza maana ya vitenzi ili kuvitofautisha na aina nyingine za maneno. - Kutambua vitenzi katika kundi la maneno na sentensi. - Kutumia vitenzi ipasavyo katika mawasiliano. - Kuonea fahari matumizi ya vitenzi katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kushirikiana na wenzake kwa amani kueleza maana ya vitenzi. - Kushirikiana na wenzake kutoa mifano ya vitenzi (k.v. soma, andika, keti, simama, cheka). - Kutambua vitendo vinavyofanyika katika picha au michoro. - Kuigiza vitenzi mbalimbali akishirikiana na wenzake. - Kutumia vitenzi kujaza nafasi kwenye sentensi na kifungu kifupi. - Kutumia vitenzi mbalimbali kutunga sentensi daftarini au mtandaoni. |
Ni shughuli gani unazofanya kila siku?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 17
Picha Michoro Kadi za vitenzi Vifaa vya kidijitali |
Kueleza maana ya vitenzi
Kutambua vitenzi katika kundi la maneno
Kutumia vitenzi kujaza nafasi katika sentensi
Kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi
Kuigiza vitenzi
|
|
| 2 | 1 |
Kuandika
|
Kuandika Insha ya Wasifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kutambua insha ya wasifu kwa kuzingatia muundo. - Kuandika insha ya wasifu kwa kuzingatia ujumbe, mtindo na muundo ufaao. - Kutumia msamiati wa nyumbani katika insha yake. - Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya wasifu ili kujenga ubunifu wake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kujadili na wenzake maana ya insha ya wasifu. - Kutambua insha ya wasifu kwa kurejelea vielelezo vya insha vilivyoandikwa kwenye matini mbalimbali au tarakilishi. - Kujadili na wenzake mada ya insha na muundo wa insha ya wasifu. - Kuandaa vidokezo vitakavyomwongoza kuandika insha yake. - Kuandika insha inayoeleza sifa za mtu kama vile mzazi, mlezi, rafiki, mwalimu au kiongozi. - Kuzingatia anwani, mpangilio mzuri wa mawazo, hati nadhifu, tahajia, kanuni za kisarufi, uakifishaji mwafaka na kwa ubunifu. |
Je, unazingatia mambo gani unapoandika insha nzuri ya wasifu?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 12
Vielelezo vya insha ya wasifu Vifaa vya kidijitali Chati |
Kutambua sifa za insha ya wasifu
Kuandaa vidokezo vya insha ya wasifu
Kuandika insha ya wasifu
Kutathmini insha zilizoundwa
Kutumia msamiati wa nyumbani ipasavyo
|
|
| 2 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Matamshi Bora: Sauti k/g
Matamshi Bora: Sauti ch/j |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kutambua silabi zinazotokana na sauti k/g katika maneno. - Kutamka silabi zinazotokana na sauti k/g kwa usahihi. - Kutamka vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti k/g. - Kuunda vitanzandimi kutokana na sauti k/g. - Kuchangamkia kukariri vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti k/g katika kuboresha matamshi yake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua silabi za sauti k/g kutokana na maneno kwenye vitabu, ubaoni au kwa kutumia vifaa vya kidijitali. - Kusikiliza silabi za sauti k/g zikitamkwa na mwalimu, mgeni mwalikwa au kutoka kwa vifaa vya kidijitali. - Kutamka silabi za sauti k/g na vitanzandimi akiwa na wenzake. - Kusikiliza vitanzandimi vilivyoundwa kutokana na maneno yenye sauti k/g vikikaririwa na mwalimu. - Kuunda vitanzandimi vyepesi vinavyotokana na sauti k/g akiwa na wenzake. - Kuwasomea wenzake vitanzandimi walivyounda katika vikundi. |
Kwa nini ni muhimu kukariri vitanzandimi vyenye sauti k na g?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 5
Picha Chati Vifaa vya kidijitali Kadi za maneno Kapu maneno Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 7 Michoro Mti maneno |
Kutambua silabi za sauti k/g katika maneno
Kutamka silabi kwa usahihi
Kutamka vitanzandimi kwa ufasaha
Kuunda vitanzandimi vyepesi
Kutathmini matamshi ya wanafunzi wengine
|
|
| 2 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kutambua msamiati wa mada lengwa uliotumika katika kifungu cha hadithi. - Kutumia msamiati lengwa kwa usahihi katika sentensi. - Kutoa muhtasari wa ujumbe wa kifungu cha hadithi. - Kujibu maswali ya ufahamu kutokana na kifungu alichosoma. - Kujenga mazoea ya usomaji bora katika maisha ya kila siku. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kushirikiana na wenzake kujadili maana na matumizi ya msamiati lengwa katika sentensi. - Kutumia kamusi kutafuta maana ya maneno mapya katika kifungu. - Kusoma kifungu tena na kujibu maswali yote ya ufahamu. - Kutoa muhtasari wa ujumbe wa kifungu alichokisoma. - Kumweleza mzazi au mlezi wake ujumbe wa kifungu alichokisoma. - Kujadiliana na wenzake kuhusu matumizi ya vitu vinavyopatikana nyumbani. |
Je, utatumiaje msamiati mpya wa nyumbani katika mawasiliano ya kila siku?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 11
Kamusi Vifaa vya kidijitali Michoro ya vitu vya nyumbani |
Kutumia msamiati lengwa katika sentensi
Kujibu maswali kutokana na kifungu alichosoma
Kutoa muhtasari wa ujumbe wa kifungu
Kueleza msamiati wa nyumbani kwa kutumia mifano halisi
|
|
| 2 | 4 |
Sarufi
|
Vitenzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kueleza maana ya vitenzi ili kuvitofautisha na aina nyingine za maneno. - Kutambua vitenzi katika kundi la maneno na sentensi. - Kutumia vitenzi ipasavyo katika mawasiliano. - Kuonea fahari matumizi ya vitenzi katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua vitenzi kwenye mraba wa maneno. - Kutoa vitenzi badala ya maelezo. - Kujaza nafasi katika sentensi kwa kutumia vitenzi. - Kukamilisha kifungu kwa kutumia vitenzi vifaavyo. - Kutunga sentensi akitumia vitenzi aliyojifunza. - Kuwasomea wenzake sentensi alizozitunga ili wazitathmini. |
Kwa nini vitenzi ni muhimu katika mawasiliano?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 19
Mraba wa maneno Vifaa vya kidijitali Kapu maneno |
Kutambua vitenzi kwenye mraba wa maneno
Kutumia vitenzi kujaza nafasi katika sentensi
Kukamilisha kifungu kwa kutumia vitenzi
Kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi
Kufanya tathmini ya kazi za wanafunzi wengine
|
|
| 3 | 1 |
Sarufi
|
Vivumishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kueleza maana ya kivumishi ili kukitofautisha na aina nyingine za maneno. - Kutambua vivumishi katika kundi la maneno na sentensi. - Kutumia vivumishi ipasavyo katika sentensi. - Kuonea fahari matumizi ya vivumishi katika sentensi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kushirikiana na wenzake kueleza maana ya kivumishi. - Kutambua vivumishi katika kundi la maneno aliyopewa (k.m. -zuri, -baya, -refu, -fupi, -eusi, -eupe). - Kuchagua vivumishi kwenye tarakilishi, kuviburura na kuvitia kapuni akiwa na wenzake. - Kutumia vivumishi kujaza nafasi katika sentensi. - Kutumia vivumishi kutunga sentensi daftarini na mtandaoni. - Kuandika aya fupi akitumia vivumishi mbalimbali. |
Ni sifa zipi unazoweza kutambua katika nomino mbalimbali?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 20
Kadi za vivumishi Vifaa vya kidijitali Kapu maneno |
Kueleza maana ya kivumishi
Kutambua vivumishi katika kundi la maneno
Kutumia vivumishi kujaza nafasi katika sentensi
Kutunga sentensi kwa kutumia vivumishi
Kuandika aya fupi akitumia vivumishi
|
|
| 3 | 2 |
Sarufi
|
Vivumishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kueleza maana ya kivumishi ili kukitofautisha na aina nyingine za maneno. - Kutambua vivumishi katika kundi la maneno na sentensi. - Kutumia vivumishi ipasavyo katika sentensi. - Kuonea fahari matumizi ya vivumishi katika sentensi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kupigia mstari vivumishi katika sentensi alizonakili. - Kujaza nafasi katika sentensi kwa kutumia vivumishi vifaavyo. - Kujaza nafasi katika kifungu kwa kutumia vivumishi alivyopewa. - Kupanga maneno kwenye jedwali: Nomino, Vivumishi na Vitenzi. - Kuwasomea au kuwasambazia wenzake kazi yake ili kuitolea maoni kwa heshima na upendo. - Kutumia kifaa cha kidijitali kuandika aya fupi akitumia vivumishi mbalimbali. |
Je, vivumishi husaidia vipi katika kuwasilisha mawazo kwa ufasaha?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 21
Vifaa vya kidijitali Jedwali la kupanga maneno |
Kupigia mstari vivumishi katika sentensi
Kujaza nafasi kwa kutumia vivumishi
Kupanga maneno katika jedwali: Nomino, Vivumishi na Vitenzi
Kuandika aya fupi akitumia vivumishi
Kuwasilisha na kutathmini kazi
|
|
| 3 | 3 |
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza |
Kuandika Insha ya Wasifu
Maamkuzi na Maagano |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kutambua insha ya wasifu kwa kuzingatia muundo. - Kuandika insha ya wasifu kwa kuzingatia ujumbe, mtindo na muundo ufaao. - Kutumia msamiati wa nyumbani katika insha yake. - Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya wasifu ili kujenga ubunifu wake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kukamilisha kuandika insha ya wasifu aliyoanza kuandika. - Kuwasomea wenzake insha yake ili waitathmini. - Kufanya marekebisho ya insha yake kulingana na maoni ya wenzake. - Kuandika insha ya wasifu mtandaoni na kuisambaza kwa wenzake na mwalimu ili waisome na kuitathmini. - Kujadiliana na wenzake kuhusu namna ya kuboresha insha yake zaidi. |
Ni kwa vipi unaweza kuboresha insha yako ya wasifu?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 12
Vifaa vya kidijitali Orodha hakiki ya vigezo vya insha nzuri Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 24 Chati ya maamkuzi Kapu maneno Kadi za maamkuzi |
Kuandika insha ya wasifu iliyokamilika
Kusoma insha ya wasifu kwa ufasaha
Kutathmini insha ya wasifu
Kurekebisha insha ya wasifu kulingana na maoni
|
|
| 3 | 4 |
NIDHAMU MEZANI
Kusoma |
Matumizi ya Kamusi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kueleza maana ya kamusi ili kuitofautisha na vitabu vingine. - Kutumia kamusi ipasavyo kutafuta maana za maneno asiyoyajua ili kukuza msamiati wake. - Kuchangamkia umuhimu wa kamusi katika kukuza msamiati wake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kujadiliana na wenzake kuhusu maana na matumizi ya kamusi. - Kujadiliana na wenzake kuhusu mpangilio wa maneno katika kamusi. - Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno mbalimbali akiwa na wenzake. - Kutumia mtandao kusikiliza na kusoma maelezo kuhusu msamiati anaotafutia maana. - Kutambua tofauti kati ya matini ya kawaida na matini ya kamusi. |
Unazingatia nini unapotafuta maneno katika kamusi?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 29
Kamusi Vifaa vya kidijitali Matini tofauti |
Kueleza maana ya kamusi
Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno mbalimbali
Kupanga maneno kufuata mpangilio wa kamusi
Kufanya tathmini ya kutumia kamusi
|
|
| 4 | 1 |
Sarufi
|
Viwakilishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kueleza maana ya kiwakilishi ili kukibainisha. - Kutambua viwakilishi katika kundi la maneno na sentensi. - Kutumia viwakilishi ipasavyo katika sentensi. - Kuonea fahari matumizi ya viwakilishi katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kushirikiana na wenzake kueleza maana ya viwakilishi. - Kutambua viwakilishi katika kundi la maneno aliyopewa. - Kuchagua viwakilishi kwenye tarakilishi, kuviburura na kuvitia kapuni akiwa na wenzake. - Kujaza nafasi katika sentensi kwa kutumia viwakilishi mwafaka. - Kutumia viwakilishi kutunga sentensi daftarini au mtandaoni kwa kuzingatia suala lengwa. |
Ni maneno gani yanayoweza kutumika badala ya nomino?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 35
Kapu maneno Vifaa vya kidijitali Kadi za viwakilishi Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 36 Mifano ya sentensi zenye viwakilishi |
Kueleza maana ya kiwakilishi
Kutambua viwakilishi katika maneno
Kujaza nafasi katika sentensi kwa kutumia viwakilishi
Kutunga sentensi kwa kutumia viwakilishi
Kufanya tathmini ya wanafunzi wenyewe
|
|
| 4 | 2 |
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza |
Insha ya Masimulizi
Maamkuzi na Maagano |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kutambua insha ya masimulizi kwa kuzingatia muundo. - Kuandika insha ya masimulizi kwa kufuata kanuni zifaazo. - Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya masimulizi ili kujenga ubunifu wake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua insha ya masimulizi kwa kurejelea vielelezo vya insha zilizoandikwa kwenye matini mbalimbali au tarakilishi. - Kujadili na wenzake vipengele vya insha ya masimulizi. - Kubainisha insha ya masimulizi kutoka kwa vielelezo mbalimbali vya insha. - Kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi. - Kujadili na wenzake vipengele vya uandishi wa insha ya masimulizi. |
Insha ya masimulizi inahusu nini?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 32
Vielelezo vya insha Chati Vifaa vya kidijitali Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 26 Chati za maagano Jedwali la maamkuzi na maagano Picha |
Kutambua insha ya masimulizi
Kutofautisha insha ya masimulizi na insha nyingine
Kueleza vipengele vya insha ya masimulizi
Kujadili sifa za insha ya masimulizi
|
|
| 4 | 3 |
Kusoma
Sarufi |
Matumizi ya Kamusi
Vielezi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kueleza maana ya kamusi ili kuitofautisha na vitabu vingine. - Kutumia kamusi ipasavyo kutafuta maana za maneno asiyoyajua ili kukuza msamiati wake. - Kuchangamkia umuhimu wa kamusi katika kukuza msamiati wake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kusoma kifungu cha hadithi kinachohusiana na matumizi ya kamusi. - Kutambua msamiati mpya kutoka kwenye kifungu. - Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno asiyoyaelewa katika kifungu. - Kupanga maneno alivyoyatambua katika mpangilio wa kamusi. - Kujibu maswali yanayohusiana na kifungu alichokisoma. - Kutoa mifano ya matumizi ya maneno aliyotafutia maana katika kamusi. |
Kamusi ina umuhimu gani katika kupanua msamiati wako?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 31
Kamusi Vifaa vya kidijitali Kifungu cha hadithi Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 37 Kadi za maneno Mti maneno Kapu maneno |
Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno
Kupanga maneno kufuata mpangilio wa kamusi
Kutoa mifano ya matumizi ya maneno
Kujibu maswali ya uelewa
Kufanya tathmini ya ufahamu wa wanafunzi
|
|
| 4 | 4 |
Sarufi
|
Vielezi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kueleza maana ya kielezi ili kukibainisha. - Kutambua vielezi katika kundi la maneno na sentensi. - Kutumia vielezi ipasavyo katika mawasiliano. - Kuonea fahari matumizi ya vielezi katika sentensi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia vielezi mwafaka kujaza nafasi katika sentensi. - Kutumia vielezi kutunga sentensi daftarini au kwenye kifaa cha kidijitali akizingatia suala lengwa na masuala mtambuko mbalimbali. - Kuwasomea au kuwasambazia wenzake na mwalimu sentensi zake ili kuzitolea maoni. - Kutumia vielezi kueleza jinsi ya kuonyesha nidhamu mezani. |
Ni vielezi vipi vinaweza kutumika kuelezea tabia nzuri mezani?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 38
Chati ya vielezi Vifaa vya kidijitali |
Kujaza nafasi kwa kutumia vielezi
Kutunga sentensi kwa kutumia vielezi
Kutumia vielezi kuelezea nidhamu mezani
Kushirikishana maoni kuhusu matumizi ya vielezi
Kufanya tathmini ya kazi za wanafunzi
|
|
| 5 | 1 |
Kuandika
|
Insha ya Masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kutambua insha ya masimulizi kwa kuzingatia muundo. - Kuandika insha ya masimulizi kwa kufuata kanuni zifaazo. - Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya masimulizi ili kujenga ubunifu wake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kuandaa vidokezo vitakavyomwongoza kuandika insha yake. - Kuandika insha inayosimulia kisa kinachohusu nidhamu mezani kwa kuzingatia anwani, mpangilio mzuri wa mawazo, hati safi, tahajia, kanuni za kisarufi, uakifishaji mwafaka na kwa lugha ya kiubunifu. - Kushiriki na wenzake kujadili mada ya insha na muundo wa insha ya masimulizi. - Kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitathmini. |
Je, unazingatia nini ili kuandika insha nzuri ya masimulizi?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 33
Vifaa vya kidijitali Vidokezo vya insha Picha kuhusu nidhamu mezani |
Kuandaa vidokezo vya insha ya masimulizi
Kuandika insha ya masimulizi
Kuwasilisha insha kwa kuzingatia ujumbe na muundo wake
Kutathmini insha za wanafunzi
Kufanya marekebisho ya insha kulingana na maoni ya wenzake
|
|
| 5 | 2 |
MAVAZI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Matamshi Bora: Vitendawili
Kusoma kwa Ufasaha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kutambua vitendawili kwenye matini mbalimbali. - Kutega na kutegua vitendawili ili kujenga matamshi bora. - Kuchangamkia matumizi ya vitendawili katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutafiti maana ya kitendawili kwenye kamusi, vitabuni au mtandaoni akiwa na wenzake. - Kutambua vitendawili katika chati, ubao au katika vifaa vya kidijitali. - Kusikiliza vitendawili vikitegwa na kuteguliwa kupitia vyombo vya kidijitali. - Kushiriki katika kutega na kutegua vitendawili akiwa na wenzake. - Kuunda vitendawili vyepesi kuhusu mavazi. |
Je, unazingatia nini unapotega na kutegua vitendawili?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 41
Orodha ya vitendawili Vifaa vya kidijitali Kamusi Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 43 Kifungu cha hadithi kuhusu mavazi |
Kutega vitendawili
Kutegua vitendawili
Kutoa majibu sahihi ya vitendawili
Kuunda vitendawili vyepesi
Kufanya tathmini ya vitendawili vilivyotegwa
|
|
| 5 | 3 |
Sarufi
|
Viunganishi
Vihusishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kueleza maana ya kiunganishi ili kukibainisha. - Kutambua viunganishi katika kundi la maneno na sentensi. - Kutumia viunganishi kwa njia sahihi katika mawasiliano. - Kuonea fahari matumizi ya viunganishi katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kushirikiana na wenzake kueleza maana ya viunganishi. - Kutambua viunganishi katika kundi la maneno aliyopewa (k.v. na, pia, kwa sababu, lakini). - Kutafiti vitabuni au mtandaoni ili kutoa mifano mbalimbali ya viunganishi. - Kutumia viunganishi kujaza nafasi katika sentensi. - Kutumia viunganishi kutunga sentensi daftarini au mtandaoni kwa kuzingatia suala lengwa na masuala mtambuko mbalimbali. |
Je, kwa nini ni muhimu kutumia viunganishi katika mawasiliano?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 48
Kapu maneno Vifaa vya kidijitali Kadi maneno Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 50 Chati ya vihusishi |
Kueleza maana ya kiunganishi
Kutambua viunganishi katika kundi la maneno
Kutumia viunganishi kujaza nafasi katika sentensi
Kutunga sentensi kwa kutumia viunganishi
|
|
| 5 | 4 |
Kuandika
|
Kuandika kwa kutumia tarakilishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kutambua sehemu mbalimbali za tarakilishi zinazotumika kupigia chapa. - Kufungua na kufunga tarakilishi ili kuandika kazi na kuihifadhi. - Kuandika mada lengwa kwa kutumia tarakilishi. - Kuhariri kazi yake kwa kuzingatia uakifishaji ufaao. - Kuhifadhi kazi aliyoiandika kwenye tarakilishi. - Kujenga mazoea ya kuandika kwa kutumia tarakilishi na kuhifadhi kazi yake ya maandishi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua sehemu za kimsingi za tarakilishi za kupigia chapa akiwa na wenzake (k.v. kiibodi, kipanya, kiwambo, kitufe na faili). - Kuzingatia hatua za kufungua na kufunga tarakilishi. - Kuandika mada lengwa kwa kutumia tarakilishi akizingatia chapa koza, italiki na kupigia mistari panapofaa. - Kuandika aya kuhusu mavazi katika tarakilishi na kuihariri. |
Je, unazingatia nini unapoandika kwa kutumia tarakilishi?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 45
Tarakilishi Kipakatalishi Picha za sehemu za tarakilishi |
Kutambua sehemu za tarakilishi
Kufungua na kufunga tarakilishi
Kuandika mada kwa kutumia tarakilishi
Kuhariri kazi ya maandishi kwenye tarakilishi
|
|
| 6 | 1 |
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma |
Matamshi Bora: Vitendawili
Kusoma kwa Ufasaha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kutambua vitendawili kwenye matini mbalimbali. - Kutega na kutegua vitendawili ili kujenga matamshi bora. - Kuchangamkia matumizi ya vitendawili katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutaja majina ya vitu kwenye picha na kuviambatanisha na vitendawili vinavyovielezea. - Kushiriki katika mchezo wa kutega na kutegua vitendawili mbalimbali. - Kujadiliana na mzazi au mlezi wake kuhusu vitendawili vinavyotegwa katika jamii yao. - Kuwasilisha vitendawili walivyojadili. - Kutega na kutegua vitendawili mbalimbali akiwa na wenzake. |
Vitendawili vina manufaa gani katika jamii?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 42
Picha Orodha ya vitendawili Vifaa vya kidijitali Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 44 Kadi za kuhesabia maneno Hadithi mbalimbali |
Kutega vitendawili
Kutegua vitendawili
Kutunga vitendawili vipya
Kutathmini vitendawili vilivyotegwa
Kuthamini matumizi ya vitendawili katika jamii
|
|
| 6 | 2 |
Sarufi
|
Vihisishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kueleza maana ya kihisishi ili kukibainisha. - Kutambua vihisishi katika kundi la maneno na sentensi. - Kutumia vihisishi ipasavyo katika sentensi. - Kuonea fahari matumizi ya vihisishi katika miktadha mbalimbali. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kueleza maana ya vihisishi na kuvitolea mifano (k.m. Lo!, Ala!, Salalee!, Mama ee!, Oyee! na Aha!) akishirikiana na wenzake. - Kutambua vihisishi katika kundi la maneno. - Kutambua alama ya hisi (!) inayoambatanishwa na vihisishi. - Kutumia vihisishi kujaza nafasi katika sentensi. - Kutumia vihisishi kutunga sentensi kwenye daftari akizingatia suala lengwa na masuala mtambuko mbalimbali. |
Kutumia vihisishi katika mawasiliano kuna umuhimu gani?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 53
Kapu maneno Kadi maneno Vifaa vya kidijitali |
Kueleza maana ya kihisishi
Kutambua vihisishi katika kundi la maneno
Kutumia vihisishi kujaza nafasi katika sentensi
Kutunga sentensi kwa kutumia vihisishi
Kutumia vihisishi kuonyesha hisia mbalimbali
|
|
| 6 | 3 |
Sarufi
Kuandika |
Vihisishi
Kuandika kwa kutumia tarakilishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo, - Kueleza maana ya kihisishi ili kukibainisha. - Kutambua vihisishi katika kundi la maneno na sentensi. - Kutumia vihisishi ipasavyo katika sentensi. - Kuonea fahari matumizi ya vihisishi katika miktadha mbalimbali. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia vihisishi kutunga kifungu kifupi daftarini au mtandaoni ili wenzake wakisome na kukitathmini. - Kutumia vihisishi katika kuonyesha hisia mbalimbali kama kushukuru, kufurahi, kushangaa, kushtuka na huruma. - Kutunga sentensi akitumia vihisishi kukaribisha watu wanaotembelea nyumbani kwao. - Kutunga kifungu kifupi kuhusu mavazi akitumia vihisishi alivyojifunza. |
Ni vihisishi vipi hutumika kuonyesha hisia mbalimbali?
|
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 54
Vifaa vya kidijitali Kifungu chenye vihisishi Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 46 Tarakilishi Kielelezo cha kuandika kifungu kwenye tarakilishi |
Kutumia vihisishi kuonyesha hisia mbalimbali
Kutunga sentensi kwa kutumia vihisishi
Kutunga kifungu kifupi akitumia vihisishi
Kutathmini matumizi ya vihisishi katika maandishi ya wenzake
|
|
| 6 | 4 |
USHAURI-NASAHA
Kusikiliza na Kuzungumza |
Methali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua methali zinazohusu malezi katika matini tofauti-tofauti - Kueleza maana za methali kuhusu malezi - Kutumia methali zinazohusu malezi katika mawasiliano - Kuchangamkia matumizi ya methali katika miktadha mbalimbali |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua methali kuhusu malezi (k.v. mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, mtoto wa nyoka ni nyoka na mtoto hutazama kisogo cha nina) kutoka kwa orodha ya methali, chati au mtandaoni - Kueleza maana za methali kuhusu malezi akiwa na wenzake - Kukamilisha methali kuhusu malezi |
Ni methali gani zinazohusu malezi?
|
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 71
Chati zenye methali Vifaa vya kidijitali Orodha ya methali |
Kutambua methali zinazohusu malezi
Kueleza maana za methali kuhusu malezi
Kukamilisha methali kuhusu malezi
|
|
| 7 |
Midterm assessment |
||||||||
| 8 |
Half term |
||||||||
| 9 | 1 |
Kusoma
Sarufi |
Kusoma kwa Ufahamu
Ngeli ya U-I |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kueleza maana ya shairi, ubeti na mshororo ili kuvibainisha - Kusoma shairi kwa ufasaha kwa kuzingatia ujumbe - Kutambua beti na mishororo katika shairi - Kutambua shairi kutokana na umbo lake - Kufurahia kutumia lugha ya ushairi anapozungumzia ushairi |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua shairi, beti na mishororo katika matini mbalimbali kama vile vitabu, chati na vilevile kwa kutumia tarakilishi - Kushiriki katika majadiliano kuhusu maana za shairi, ubeti na mishororo - Kusoma akizingatia msamiati wa mada lengwa |
Unaufahamu msamiati gani wa ushairi?
|
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 74
Matini za mashairi Chati za maana ya sifa za ushairi Vifaa vya kidijitali Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 80 Picha za nomino za ngeli ya U-I Kadi za sentensi Kikapu/boksi |
Kutambua sifa za shairi
Kutambua shairi kutokana na umbo lake
Kutambua beti na mishororo katika shairi
|
|
| 9 | 2 |
Sarufi
Kuandika |
Ngeli ya U-I
Insha ya Maelezo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U-I - Kutambua nomino katika ngeli ya U-I ili kuzitofautisha na nomino katika ngeli nyingine - Kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya U-I katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi - Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya U-I katika mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua nomino katika ngeli ya U-I kwenye kadi, mti maneno, tarakilishi au kapu maneno - Kujaza nafasi katika sentensi kwa kutumia viambishi vya umoja na wingi wa nomino katika ngeli ya U-I |
Ni viambishi vipi hutumika katika upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U-I?
|
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 82
Kadi za nomino za ngeli ya U-I Mti maneno Kapu maneno Vifaa vya kidijitali Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 78 Vielelezo vya insha ya maelezo Kielelezo cha muundo wa insha ya maelezo |
Kutumia viambishi vya ngeli ya U-I katika sentensi
Kujaza pengo kwa viambishi vya ngeli ya U-I
Kutaja mifano ya nomino za ngeli ya U-I
|
|
| 9 | 3 |
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma |
Methali
Kusoma kwa Ufahamu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua methali zinazohusu malezi katika matini tofauti-tofauti - Kueleza maana za methali kuhusu malezi - Kutumia methali zinazohusu malezi katika mawasiliano - Kuchangamkia matumizi ya methali katika miktadha mbalimbali |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia methali kuhusu malezi katika kifungu kifupi na masimulizi akiwa na wenzake - Kushirikiana na mzazi au mlezi wake kutambua methali kuhusu malezi katika jamii yao |
Methali hutumiwa kufanya nini?
|
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 72
Video zenye methali Kadi za methali Maigizo Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 76 Nakala ya shairi Tarakilishi/vipakatalishi Rununu Projekta |
Kutumia methali katika masimulizi
Kutega na kutegua methali
Kueleza maana za methali
|
|
| 9 | 4 |
Sarufi
|
Ngeli ya U-I
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U-I - Kutambua nomino katika ngeli ya U-I ili kuzitofautisha na nomino katika ngeli nyingine - Kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya U-I katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi - Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya U-I katika mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kuunda sentensi sahihi daftarini au kwenye kifaa cha kidijitali akitumia nomino za ngeli ya U-I katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi - Kuwasomea au kuwazambazia wenzake na mwalimu sentensi alizozitunga ili kuzitathmini |
Nomino zinazorejelea mimea na vitu vya kimaumbile ni zipi?
|
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 83
Tarakilishi/vipakatalishi Daftari Kalamu/penseli Orodha ya nomino za ngeli ya U-I |
Kutunga sentensi zenye nomino za ngeli ya U-I
Kugeuza sentensi kutoka umoja hadi wingi na kinyume chake
Kufanyiana tathmini
|
|
| 10 | 1 |
Sarufi
|
Ngeli ya U-I
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U-I - Kutambua nomino katika ngeli ya U-I ili kuzitofautisha na nomino katika ngeli nyingine - Kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya U-I katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi - Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya U-I katika mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutunga sentensi mbalimbali akitumia nomino za ngeli ya U-I kutoka kwa mazingira yake - Kuwasomea wenzake sentensi alizozitunga ili wazitathimini - Kutunga kifungu kifupi akitumia nomino za ngeli ya U-I |
Kwa nini ni muhimu kuzingatia upatanisho wa kisarufi unaofaa wa ngeli ya U-I?
|
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 83
Picha za nomino za ngeli ya U-I Orodha ya nomino za ngeli ya U-I Vifaa vya kidijitali |
Kutunga sentensi sahihi akitumia nomino za ngeli ya U-I
Kutunga kifungu kifupi akitumia nomino za ngeli ya U-I
Kufanyiana tathmini
|
|
| 10 | 2 |
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza |
Insha ya Maelezo
Kujieleza kwa Ufasaha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua insha ya maelezo katika matini - Kuandika insha ya maelezo kwa kufuata kanuni zifaazo - Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya maelezo ili kukuza ubunifu |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kuandika insha ya maelezo akizingatia mada lengwa (ushauri-nasaha) akitumia vivumishi na vielezi vifaavyo kutoa picha dhahiri kuhusu anachokielezea - Kuandika insha ya maelezo akizingatia anwani, mpangilio mzuri wa mawazo, hati safi, tahajia, kanuni za kisarufi, uakifishaji mwafaka na kwa lugha ya kiubunifu |
Je, unazingatia nini unapoandika insha ya maelezo?
|
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 79
Kielelezo cha insha ya maelezo Karatasi Kalamu/penseli Tarakilishi/vipakatalishi Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 84 Nakala ya shairi Vifaa vya kidijitali Picha ya bendera ya taifa Chati ya shairi |
Kuandika insha ya maelezo
Kuzingatia muundo ufaao wa insha ya maelezo
Kujitathimini na kufanya marekebisho
|
|
| 10 | 3 |
BENDERA YA TAIFA
Kusoma Sarufi |
Kusoma kwa Kina
Ngeli ya LI-YA |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kusoma makala kwa kuzingatia vipengele mbalimbali vinavyoyajenga - Kusoma na kutambua umuhimu wa ujumbe wa makala husika - Kufurahia kusoma makala mbalimbali ili kukuza ufahamu |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kusoma makala ya aina mbalimbali (k.m. hadithi fupi, michezo mifupi, mashairi mafupi) akizingatia vipengele kama vile tahajia, sarufi, wahusika na ujumbe kutoka kwa kitabu, gazeti au blogi - Kujadiliana na wenzake kuhusu makala aliyoyasoma na umuhimu wake |
Kusoma hadithi kuna umuhimu gani?
|
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 89
Matini ya makala Vitabu Magazeti Vifaa vya kidijitali Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 92 Picha za nomino za ngeli ya LI-YA Kadi za sentensi Kikapu/boksi |
Kusoma makala kwa ufasaha
Kutambua vipengele vya makala
Kueleza ujumbe wa makala
Kusoma hadithi fupi
|
|
| 10 | 4 |
Sarufi
|
Ngeli ya LI-YA
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya LI-YA - Kutambua nomino katika ngeli ya LI-YA ili kuzitofautisha na nomino katina ngeli nyingine - Kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya LI-YA katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi - Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya LI-YA katika mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua nomino katika ngeli ya LI-YA kwenye kadi, mti maneno, tarakilishi au kapu maneno - Kujaza nafasi katika sentensi kwa kutumia viambishi vya umoja na wingi wa nomino katika ngeli ya LI-YA |
Ni viambishi vipi hutumika katika upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya LI-YA?
|
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 93
Kadi za nomino za ngeli ya LI-YA Mti maneno Chati Vifaa vya kidijitali |
Kutumia viambishi vya ngeli ya LI-YA katika sentensi
Kujaza pengo kwa viambishi vya ngeli ya LI-YA
Kutambua nomino za ngeli ya LI-YA katika kifungu
|
|
| 11 | 1 |
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza |
Insha ya Wasifu
Kujieleza kwa Ufasaha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua insha ya wasifu kwa kuzingatia muundo - Kuandika insha ya wasifu kwa kuzingatia ujumbe, mtindo na muundo ufaao - Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya wasifu ili kujenga ubunifu wake |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua insha ya wasifu kwa kurejelea vielelezo vya insha zilizoandikwa kwenye matini mbalimbali au tarakilishi - Kuandaa vidokezo vitakavyomwongoza kuandika insha yake - Kushiriki na wenzake kujadili mada ya insha na muundo wa insha ya wasifu |
Insha ya wasifu inahusu nini?
|
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 92
Vielelezo vya insha ya wasifu Vifaa vya kidijitali Chati kuhusu muundo wa insha ya wasifu Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 85 Nakala ya shairi Picha ya bendera ya taifa |
Kutambua vipengele vya insha ya wasifu
Kuchora muundo wa insha ya wasifu
Kujaza orodha hakiki ya vipengele vya insha ya wasifu
|
|
| 11 | 2 |
Kusoma
Sarufi |
Kusoma kwa Kina
Ngeli ya LI-YA |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kusoma makala kwa kuzingatia vipengele mbalimbali vinavyoyajenga - Kusoma na kutambua umuhimu wa ujumbe wa makala husika - Kufurahia kusoma makala mbalimbali ili kukuza ufahamu |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia kamusi kupata maana za msamiati uliotumika katika makala - Kushiriki katika mchezo wa kuigiza kutoka kwenye makala aliyoisoma - Kujibu maswali kuhusu makala aliyoisoma |
Je, umejifunza nini kutokana na makala uliyosoma?
|
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 90
Kamusi Makala Vifaa vya kidijitali Picha Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 94 Tarakilishi/vipakatalishi Daftari Kalamu/penseli Orodha ya nomino za ngeli ya LI-YA |
Kutumia kamusi kupata maana za maneno
Kuigiza maudhui ya makala
Kujibu maswali kuhusu makala
Kueleza ujumbe wa makala
|
|
| 11 | 3 |
Sarufi
|
Ngeli ya LI-YA
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya LI-YA - Kutambua nomino katika ngeli ya LI-YA ili kuzitofautisha na nomino katina ngeli nyingine - Kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya LI-YA katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi - Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya LI-YA katika mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutunga sentensi mbalimbali akitumia nomino za ngeli ya LI-YA kutoka kwa mazingira yake - Kuwasomea wenzake sentensi alizozitunga ili wazitathimini - Kutunga kifungu kifupi akitumia nomino za ngeli ya LI-YA |
Kwa nini ni muhimu kuzingatia upatanisho wa kisarufi unaofaa wa ngeli ya LI-YA?
|
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 94
Picha za nomino za ngeli ya LI-YA Orodha ya nomino za ngeli ya LI-YA Vifaa vya kidijitali |
Kutunga sentensi sahihi akitumia nomino za ngeli ya LI-YA
Kuandika insha fupi inayotumia nomino za ngeli ya LI-YA
Kufanyiana tathmini
|
|
| 11 | 4 |
Kuandika
|
Insha ya Wasifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua insha ya wasifu kwa kuzingatia muundo - Kuandika insha ya wasifu kwa kuzingatia ujumbe, mtindo na muundo ufaao - Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya wasifu ili kujenga ubunifu wake |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kuandika insha inayoeleza sifa za mtu kama vile mzazi au mlezi, rafiki, mwalimu au kiongozi yeyote kwa kuzingatia anwani, mpangilio mzuri wa mawazo, hati nadhifu, tahajia, kanuni za kisarufi, uakifishaji mwafaka na kwa ubunifu - Kuandika insha ya wasifu mtandaoni na kuisambaza kwa wenzake na mwalimu ili waisome na kuitathmini - Kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitathmini |
Je, unazingatia nini ili kuandika insha nzuri ya wasifu?
|
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 93
Vifaa vya kidijitali Daftari Kalamu/penseli Kielelezo cha insha ya wasifu |
Kuandika insha ya wasifu
Kuzingatia vipengele vya insha ya wasifu
Kusomeana insha zilizotungwa na kupeana maoni
|
|
| 12 |
End term assessment |
||||||||
| 13 |
Closing school |
||||||||
Your Name Comes Here